kijana mwenye umri wa miaka 26 ambaye aliekua mwenyekiti wa chama cha vijana wa ccm
CHAVITA
amekutwa akiwa amekufa katika chumba cha hoteli iliyomo mkoani arusha
jeshi la polisi linawatafuta wanawake wawili ambao waliokua na marehemu kabla mauti hayajamkuta.by nelly
No comments:
Post a Comment