Wafanyakazi wawili wa hoteli
ya
Peacock wameithibitishia
mahakama
ya hakimu mkazi Kisutu jinsi
walivyozihakiki fedha za mtego
za
Taasisi ya kuzuia na kupambana
na
rushwa (TAKUKURU) ,alizokutwa
nazo mbunge wa Bahi mkoani
Dodoma Mheshimiwa Omari
Badwel.
Source ITV
hali inatisha
ReplyDelete