Thursday, February 28, 2013
MKOA WA ARUSHA SASA GIZA
ni kwanzia juzi mkoa wa arusha unakatika umeme kuanzia asubuhi mpaka jioni na haijafahamika chanzo cha kukatika umeme na hakuna sababu za kukatika kwa umeme.
Tuesday, February 26, 2013
HABARI:SHULE YA EDMUND RISE IMEUNGUA MOTO
kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya kuaminika shule ya edmund rise yawaka moto huku wanafunzi wakiwa ndani ya mabweni
yao wamekimbizwa hospitali ya mountmeru mjini arusha vyanzo
vyetu vinaendelea kutupa habari tutaletewa hapahapa..by nelly
yao wamekimbizwa hospitali ya mountmeru mjini arusha vyanzo
vyetu vinaendelea kutupa habari tutaletewa hapahapa..by nelly
JUMATATU HII KATIKA NILIJIUNGA FREMASORN NILIPOKUA NA MIAKA 7 EP 2
tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza story ya john itakua mpaka wiki ijayo asante.
Sunday, February 24, 2013
Saturday, February 23, 2013
NILIJIUNGA FREMASON TANGU NILIVYOKUA NA MIAKA 7 EP 1
nilitokea katika familia yenye kumcha mungu nilikua wa kwanza kuzaliwa
nikifuatiwa na wadogo zangu wawili
maisha yalikua mazuri yenye upendo ila nilikua na bahati kwa sababu wazazi wangu walinipenda na hata ndugu zangu walinipenda ikafikia wakati ndugu zangu walitaka waishi na mimi
nilizaliwa mbeya mwaka 1993 februari katika husipitali ya mkoa wa mbeya nilianza shule katika mkoa wa moshi
ambamo wazazi wangu walihamia mkoan moshi kwaajili ya kutafuta maisha ambamo tulijenga nyumba yetu huko nilianza darasa la kwanza mwaka 1999 katika shule iitwayo LANGONI PRIMARY SCHOOL
nilisoma mpaka drasa la tatu ambamo mauzauza na vimbwanga vilianzia hapo.
Ilikua jumatatu usiku ambamo nilikua nimelala na mdogo wangu mara nikaota ndoto mbaya sana nikasikia sauti ikiniambia '' we ni mtu muhimu sana kwetu hivyo inabidi uwe mfalme wa kuzimu na mamlaka yote ya roho. Mara nikashtka kutoka usingizini Nilogopa sana sikuelewa ndoto ile inamaanisha nini...fuatilia story hii je nini kitatokea?
nikifuatiwa na wadogo zangu wawili
maisha yalikua mazuri yenye upendo ila nilikua na bahati kwa sababu wazazi wangu walinipenda na hata ndugu zangu walinipenda ikafikia wakati ndugu zangu walitaka waishi na mimi
nilizaliwa mbeya mwaka 1993 februari katika husipitali ya mkoa wa mbeya nilianza shule katika mkoa wa moshi
ambamo wazazi wangu walihamia mkoan moshi kwaajili ya kutafuta maisha ambamo tulijenga nyumba yetu huko nilianza darasa la kwanza mwaka 1999 katika shule iitwayo LANGONI PRIMARY SCHOOL
nilisoma mpaka drasa la tatu ambamo mauzauza na vimbwanga vilianzia hapo.
Ilikua jumatatu usiku ambamo nilikua nimelala na mdogo wangu mara nikaota ndoto mbaya sana nikasikia sauti ikiniambia '' we ni mtu muhimu sana kwetu hivyo inabidi uwe mfalme wa kuzimu na mamlaka yote ya roho. Mara nikashtka kutoka usingizini Nilogopa sana sikuelewa ndoto ile inamaanisha nini...fuatilia story hii je nini kitatokea?
NILIJIUNGA FREE MARSON TANGU NILIVYOKUA NA MIAKA SABA EP 1
hii ni story ambayo utaipata hapa katika link hii ambayo itaanza hivi karibuni kwaiyo kaa mkao wa kula kuipata story hii ikielezea jinsi kijana john alivyo pata matatizo fuatana nami katika
stori h?! Na ya kusisimua
stori h?! Na ya kusisimua
Friday, February 22, 2013
DJ Fetty: ZITTO: WAZIRI NAIBU WAKE KATIBU MKUU WA WIZARA NA KAMISHNA WA ELIMU LAZIMA WAONDOKE
timu ya manchester united ya zidi kukamua kileleni huku mabingwa wao watetez manchester city wakizidi kushika nafasi ya pili huku wakichuana vikali na mabingwa man utedi nani atashika nafasi ya kwanza huku man u ikiwa na pont 62 huku manchester city ikiwa na point 53 chelsea nayo moto una waka wakililia nafasi ya pili
MWANAFUNZI ALIYEFELI KATIKA KIDATO CHA NNE AJINYONGA MKOANI ARUSHA
nelly: Imethibitishwa kutokea mkoni arusha jana saa mbili jioni mwanafunzi ajulikanae kwa jina la HEMEDI MOLEL amejinyonga baada ya kuwa na matokeo mabaya yani division 0
mama mzazi wa mtoto huyo amesema kuwa mwanae alikua mpole na mkarimu ila ameshangazwa na uamuzi aliouchukua mwanae huyo
mama mzazi wa mtoto huyo amesema kuwa mwanae alikua mpole na mkarimu ila ameshangazwa na uamuzi aliouchukua mwanae huyo
INASIKITISHA
jamani watanzania 2badilike na hasa katika suala la imani za kishirikina by nelson m kivamba
Subscribe to:
Posts (Atom)