Saturday, February 23, 2013

NILIJIUNGA FREMASON TANGU NILIVYOKUA NA MIAKA 7 EP 1

nilitokea katika familia yenye kumcha mungu nilikua wa kwanza kuzaliwa
nikifuatiwa na wadogo zangu wawili

maisha yalikua mazuri yenye upendo ila nilikua na bahati kwa sababu wazazi wangu walinipenda na hata ndugu zangu walinipenda ikafikia wakati ndugu zangu walitaka waishi na mimi
nilizaliwa mbeya mwaka 1993 februari katika husipitali ya mkoa wa mbeya nilianza shule katika mkoa wa moshi
ambamo wazazi wangu walihamia mkoan moshi kwaajili ya kutafuta maisha ambamo tulijenga nyumba yetu huko nilianza darasa la kwanza mwaka 1999 katika shule iitwayo LANGONI PRIMARY SCHOOL
nilisoma mpaka drasa la tatu ambamo mauzauza na vimbwanga vilianzia hapo.

Ilikua jumatatu usiku ambamo nilikua nimelala na mdogo wangu mara nikaota ndoto mbaya sana nikasikia sauti ikiniambia '' we ni mtu muhimu sana kwetu hivyo inabidi uwe mfalme wa kuzimu na mamlaka yote ya roho. Mara nikashtka kutoka usingizini Nilogopa sana sikuelewa ndoto ile inamaanisha nini...fuatilia story hii je nini kitatokea?

Gazeti La Makorokocho: DOKTA MANYAU NYAU AAHIDI KUM'BADILISHA NYETI ALIYEMZUSHIA KIFO

Gazeti La Makorokocho: DOKTA MANYAU NYAU AAHIDI KUM'BADILISHA NYETI ALIYEMZUSHIA KIFO

NILIJIUNGA FREE MARSON TANGU NILIVYOKUA NA MIAKA SABA EP 1

hii ni story ambayo utaipata hapa katika link hii ambayo itaanza hivi karibuni kwaiyo kaa mkao wa kula kuipata story hii ikielezea jinsi kijana john alivyo pata matatizo fuatana nami katika
stori h?! Na ya kusisimua

DJ Fetty: MWANA FA AANZISHA LIFE LINE INC

DJ Fetty: MWANA FA AANZISHA LIFE LINE INC

DJ Fetty: JCB AFUNGA NDO NA MCHUMBA WAKE DIANA JORGENSEN

DJ Fetty: JCB AFUNGA NDO NA MCHUMBA WAKE DIANA JORGENSEN

Friday, February 22, 2013

DJ Fetty: ZITTO: WAZIRI NAIBU WAKE KATIBU MKUU WA WIZARA NA KAMISHNA WA ELIMU LAZIMA WAONDOKE

timu ya manchester united ya zidi kukamua kileleni huku mabingwa wao watetez manchester city wakizidi kushika nafasi ya pili huku wakichuana vikali na mabingwa man utedi nani atashika nafasi ya kwanza huku man u ikiwa na pont 62 huku manchester city ikiwa na point 53 chelsea nayo moto una waka wakililia nafasi ya pili

DJ Fetty: ZITTO: WAZIRI NAIBU WAKE KATIBU MKUU WA WIZARA NA KAMISHNA WA ELIMU LAZIMA WAONDOKE

DJ Fetty: ZITTO: WAZIRI NAIBU WAKE KATIBU MKUU WA WIZARA NA KAMISHNA WA ELIMU LAZIMA WAONDOKE

new!new!new!

KAA MKAO WA KULA KUPATA NGOMA MPYA YA MTU MZIMA NA POPE NA NONINI

MWANAFUNZI ALIYEFELI KATIKA KIDATO CHA NNE AJINYONGA MKOANI ARUSHA

nelly: Imethibitishwa kutokea mkoni arusha jana saa mbili jioni mwanafunzi ajulikanae kwa jina la HEMEDI MOLEL amejinyonga baada ya kuwa na matokeo mabaya yani division 0
mama mzazi wa mtoto huyo amesema kuwa mwanae alikua mpole na mkarimu ila ameshangazwa na uamuzi aliouchukua mwanae huyo

Nelson RECHO ATOA UFAFANUZI JUU YA PICHA HII

DJ Fetty: RECHO ATOA UFAFANUZI JUU YA PICHA HII

INASIKITISHA

jamani watanzania 2badilike na hasa katika suala la imani za kishirikina by nelson m kivamba

DJ Fetty: WEMA ATAMBULISHA RASMI OFISI YAKE MPYA "ENDLESS FAME FILM"

DJ Fetty: WEMA ATAMBULISHA RASMI OFISI YAKE MPYA "ENDLESS FAME FILM"

DJ Fetty: DIAMOND: SIMU ILIYOIBIWA IMESABABISHA KUVUJA KWA NGOMA YANGU "UKIMUONA"

DJ Fetty: DIAMOND: SIMU ILIYOIBIWA IMESABABISHA KUVUJA KWA NGOMA YANGU "UKIMUONA"