Friday, March 1, 2013

DARASA HURU

KWAKO WEWE MWANAFUNZI

NAMNA YA WEWE KUFAULU MITIANI YAKO VIZURI
wanafunzi wengi huwa nanajiuliza kwa nini huwa wanafeli mitihani yao huku ungali unasoma lakini unafeli mtihani
#jibu linapatikana hapahapa kupitia blog hii uipendayo
KUNA NJIA AMBAZO UKIZINGATIA WEWE MWANAFUNZI UNAWEZA KUFAULU MITIHANI YAKO
1.unapoingia kwenye mtihani jaribu kumuomba mungu wako
)kama wewe ni mkristo muombe mugu na kama wewe ni muislamu vilevile fanya hivyo najua hakuna m2 asiyeabudu.
2.soma maelekezo ya mtiani vizuri hapa ndio watu hufeli mitiani yao
unapoingia kwenye mtiani soma kwa makini maelekeo ya mtihani wako unaweza ukambiwa usifanye mtihani we kwasababu hukusoma maelekezo utafeli mtiani xo kuwa makin
kwa stori zaidi
kivambanelson@gmail.com

No comments:

Post a Comment