Friday, February 22, 2013

MWANAFUNZI ALIYEFELI KATIKA KIDATO CHA NNE AJINYONGA MKOANI ARUSHA

nelly: Imethibitishwa kutokea mkoni arusha jana saa mbili jioni mwanafunzi ajulikanae kwa jina la HEMEDI MOLEL amejinyonga baada ya kuwa na matokeo mabaya yani division 0
mama mzazi wa mtoto huyo amesema kuwa mwanae alikua mpole na mkarimu ila ameshangazwa na uamuzi aliouchukua mwanae huyo

No comments:

Post a Comment