Friday, February 22, 2013

DJ Fetty: ZITTO: WAZIRI NAIBU WAKE KATIBU MKUU WA WIZARA NA KAMISHNA WA ELIMU LAZIMA WAONDOKE

timu ya manchester united ya zidi kukamua kileleni huku mabingwa wao watetez manchester city wakizidi kushika nafasi ya pili huku wakichuana vikali na mabingwa man utedi nani atashika nafasi ya kwanza huku man u ikiwa na pont 62 huku manchester city ikiwa na point 53 chelsea nayo moto una waka wakililia nafasi ya pili

No comments:

Post a Comment